Swali: 3- Ni ipi hukumu ya kuuza na miamala?
Jawabu: Asili katika biashara zote na miamala yote ni halali, isipokuwa baadhi ya aina ambazo kaziharamisha Mwenyezi Mungu Mtukufu.
Amesema Allah Mtukufu: "Na amehalalisha Mwenyezi Mungu biashara na akaharamisha riba" [Suratul Baqara: 275].