Swali: 41- Ni ipi dua ya kuomba unapomuona mwenye mtihani?

Jawabu: "Al-hamdulillaahi lladhii aafaani min mab-talaaka bihi, wafadh dhwalanii alaa kathiirin min man khalaqa tafdhwiila" Maana yake: Kila sifa njema zinamstahiki Mwenyezi Mungu aliyenipa afya mimi kwa hili alilompa mtihani huyu, na akanifanya kuwa bora kuliko wengi nakuwa miongoni mwa wale aliowaumba kwa ubora. Kaipokea Imamu Tirmidhiy

Share