Swali: 21- Unasema nini kabla ya kula chakula?
Jawabu: "Bismillahi"
Basi ukisahau kuisema mwanzoni mwake basi sema:
"Bismillaahi fii awwalihi wa aakhirihi" Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwanzoni mwake na mwishoni mwake. Imepokelewa na Abudaud na Tirmidhiy.