Swali: 7- Kwanini alituumba Mwenyezi Mungu?
Jawabu: Alituumba kwa ajili ya kumuabu yeye pekee asiye na mshirika.
Si kwa ajili ya upuuzi wala mchezo.
Amesema Allah Mtukufu: {Sikuumba majini wala watu ila ni kwa lengo la kuniabudu} (56), [Suratu Dhariyat: 56].