Swali: 27- Ni zipi haki za watu wa familia ya nyumba ya Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- kwetu sisi?

Jawabu: Tunawapenda na tunawajali, na tunamchukia mwenye kuwachukia, na wala hatuchupi mipaka kwao, nao ni wake zake na watoto wake na ukoo wa bani Hashim na bani Abdul Muttwalib katika waumini.

Share