Surah Al-Fil ( The Elephant )

Swahili

Surah Al-Fil ( The Elephant ) - Aya count 5

أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَٰبِ ٱلْفِيلِ ﴿١﴾

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍۢ ﴿٢﴾

Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ ﴿٣﴾

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍۢ مِّن سِجِّيلٍۢ ﴿٤﴾

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍۢ مَّأْكُولٍۭ ﴿٥﴾

Akawafanya kama majani yaliyo liwa!